tusichoshane, kila saa nikubebe?

tusichoshane, kila saa nikubebe?

snochet

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2011
Posts
1,466
Reaction score
1,235
nisikuchoshe,usinichoshe.jpg hii ndo Tanzania banaa
 
wamama wa mjini hii akili hawana kabisa
 
Hahahahahah...Good morning mkuu!
enjoy ze furahiday....
 
kwa kweli amefunga kazi! wanatuchosha sana!
 
Akili ni nywele kila mtu ana zake tatizo watu wa vijijini na watanzania kwa ujumla wananyimwa haki yao ya kuonesha vipaji na akili zao kutokana na mazingira hatarishi tunayoishi chini ya CCM
 
Huyo ni baba aliachiwa mtoto mama kaenda chota maji, akaona mtoto anamsumbua na vilio...Kabuni.
 
Hii nimeikubali, bonge la ubunifu. Yule Bar maid angeijua hii style wala asinge hudumia wateja huku kambeba mwanae.
 
Hahaaaaa...ngojea na mie nikopi afu nikapesti
 
Back
Top Bottom