VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Mwisho wa juma umefika. Juma hili,rafiki yangu mmoja,Mwalimu wa Mzumbe Sekondari,alitumia sh. 7000 kwenda kwa Mkurugenzi wa Elimu Mkoa wa Morogoro kudai sh. 3000 aliyokatwa kilazima kuchangia mbio za Mwenge. Wewe je?