ErlangB
Member
- Feb 25, 2021
- 82
- 79
Wadau kama title inavyoonesha, naomba kila mmoja mwenye taarifa afanye kutupa experience alipataje nafasi ya kujiunga na vyombo vya ulinzi na usalama ndani ya nchi yetu Tanzania.
NB: Mimi nimelitumikia jeshi la kujenga taifa miaka mitatu lakini sikubahatika hata kupata nafasi ya kufanya usaili (Interview) ili kujaribu bahati yangu.
Share your experience JF members nasi tupate kuelewa kidogo njia za kupitia.
NB: Mimi nimelitumikia jeshi la kujenga taifa miaka mitatu lakini sikubahatika hata kupata nafasi ya kufanya usaili (Interview) ili kujaribu bahati yangu.
Share your experience JF members nasi tupate kuelewa kidogo njia za kupitia.