Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,075
Belle na mavoko kinachowasumbua ni uvivu tu kama belle sasa anatoa nyimbo mpaka ajisikie sio kama kipindi kile ilikuw bampa to bampa
Unawaonea cloudsKiukwel kwa msimu huu nyimbo za WCB ni kero,hakuna hitsong ya maana , labda misimu iliyopita angalau, nyimbo nyingi ni substandard lakn ndo zinapigwa mtaani, yaan ni vurugu, sa hv ni inama inama kila sehemu,
Wimbo wa Chibonge ulitakiwa utambae sana lakn umezimwa na hawa wahuni wa Tandale, kama wanatumia kizizi, bas hawa WCB wana kizizi kimoja cha Hatar,
Kuna wasanii wengi wamekumbwa na hili sokomoko, ukanda wa Clouds, na timu WCB, Clouds kama hautokei kanda ya kaskazin ni vigumu sana kucheza nyimbo yako, akna Rich mavoko, Ben pol, Bele 9, Baracka Da prince n.k wote ni wahanga, kila Siku utasikia Weusi lakn wanachokiimba hata hakijulikani...
Wewe unatafuta kitu sisi watu wa kaskazini tunajituma sana na tu wanyeyekevu ili tufikie malengo yetu. Huwezi kuletea dharau platform inayokusanya mashabiki wako. Hivi kuwa mpole kama Maua Samar, G Nako, Nandy, Malkia Karen, Bilnass, Weusi, Aika na Nareel etc etc unapungukiwa nini?Kiukwel kwa msimu huu nyimbo za WCB ni kero,hakuna hitsong ya maana , labda misimu iliyopita angalau, nyimbo nyingi ni substandard lakn ndo zinapigwa mtaani, yaan ni vurugu, sa hv ni inama inama kila sehemu,
Wimbo wa Chibonge ulitakiwa utambae sana lakn umezimwa na hawa wahuni wa Tandale, kama wanatumia kizizi, bas hawa WCB wana kizizi kimoja cha Hatar,
Kuna wasanii wengi wamekumbwa na hili sokomoko, ukanda wa Clouds, na timu WCB, Clouds kama hautokei kanda ya kaskazin ni vigumu sana kucheza nyimbo yako, akna Rich mavoko, Ben pol, Bele 9, Baracka Da prince n.k wote ni wahanga, kila Siku utasikia Weusi lakn wanachokiimba hata hakijulikani...
Msanii hapo ni Maua Sama tu kdogo na Navy kenzo +Nako..wngne ni promo , trust meWewe unatafuta kitu sisi watu wa kaskazini tunajituma sana na tu wanyeyekevu ili tufikie malengo yetu. Huwezi kuletea dharau platform inayokusanya mashabiki wako. Hivi kuwa mpole kama Maua Samar, G Nako, Nandy, Malkia Karen, Bilnass, Weusi, Aika na Nareel etc etc unapungukiwa nini?
Yaani unawavimbia kisa umeambiwa flani na flani ni maadui ndo maana mnafeli
alifanya nini tena had akalaaniwa?Laana za wazazi zinamkwamisha