Nunua kitu original tuWengi mnamshambulia mleta mada kwa mazoea. Anachosema kina ukweli ndio maana hadi leo flat screens watengenezaji wanahangaika ku-improve picture quality. From plasma to lcd to led sd then hd now wapo kwenye UHD HDR yote kuomarisha muonekano.
mimi nakushauli wewe uwekemo star tv au tbc humo,kama hujaanza kumtafuta mchawi,Jaribu Qled Samsung tv 61inch 2018
Hahahah eti kina mr.UkMkuu nakusihii urekebishe hiyo kauli yako pia ningekushauri tembelea maduka ya Samsung mjini ufanye hata window shopping. Ulizia samsung led series 12 check picha alafu rudi kwenye hiyo chogo. Usije fananisha Samsung LED na chogo hata kwa mbali ila ukiongelea chogo na singsung kina mr. uk kina TLC hapo sawa mkuu. Pia zingatia aina ya channel unazo angalia kwenye hiyo Flat usije angalia TBC kwenye flat ukataka ifanane na chogo. tafuta channels HD au zina rusha matangazo kwa mfumo wa HD ndio utaelewa wapi tofauti ya technologia hizi mbili. Pia kama ni mpenzi wa miziki au movie nenda Youtube download video zilizo kwenye format ya 720p au 1080p alafu kaangalie kweny hiyo flat na weka chogo pembeni. then ulete mrejesho hapa
Electronics zangu nanunua Currys. Google that.Nunua kitu original tu
Na picha zake mbaya?Electronics zangu nanunua Currys. Google that.
Itakua ulinunua fakesamsung bado xana
Nani kasema picha zake mbaya? 4K plus blu ray haijawahi kuwa na picha mbaya.Na picha zake mbaya?
Ha hahhaSawa chogo.
naaam angeeleweka vyema kabisaMtoa mada angekuwa sahihi kama angesema"channel za tv za kibongo kwenye tv ya chogo zinapicha nzuri kuliko kwenye tv za Led,uled na 4k"
sahihi kabisaaaShida sio TV Shida ni hiyo itv hairushi matangazo kwa HD so TV flat ikiipata itaizoom na kufanya uone mazingaombwe
Na hili ni gazetiWewe, sema tu huna pesa mkuu au kama sivyo unachukua ile Mi -Tv feki Pata
kitu Kinaitwa WHAFEDALE ORIGINAL halafu ulete mrejesho hapa.Mimi hii ninayoitumia sijui
ni inch ngapi lakini kama sio 42 basi ni 60, yaani baalaa. Nimeipata kwa milioni 4.