madindigwa
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 2,453
- 2,849
Hii ndio hali halisi ya mtaa wa Lindi Kariakoo. Hili suala linajirudia taratibu na imeshaanza kuwa kero tena
Wanahangaika kujitafutia riziki yao na familia zao.Machinga ni kamanda hafukuziki kizembe
Ukilinganisha na wakuu wa mikoa waliofanya hizi operation makala kafanikiwa sana