Mchapakazi
Member
- Feb 24, 2008
- 67
- 18
Ndugu Watanzania wenzangu,
Sijawahi kuchangia wala kuandika hoja katika uwanja huu mbali ya kuwa mwanachama kwa zaidi ya mwaka mmoja. Kilichonivuta leo kuandika hapa ni upotoshaji wa hali ya juu ambao jamii ya Watanzania imekuwa inafanya jambo ambalo laweza kumaliza hiki kizazi.
Jambo hili kubwa linalonikera ni vitendo vya kuficha kwa makusudi tu sababu ya vifo vya hao waheshimiwa. Ni ukweli ulio wazi "data ninazo" kuwa Amina chifupa kafa kwa UKIMWI na mumewe Mpakanjia kamfuata kwa UKIMWI huo huo less than two years later. Lakini utakachosikia alikuwa na Pneumonia. Kwa nini mdanganye? Semeni basi kafa kwa ugonjwa ambao hatutaki kuusema..tuelewe kimoja.
Hii tabia ya kuficha ficha na kusingizia kulogwa, pneumonia, malaria na kuendelea haiisaidii jamii ya kitanzania na mapambano dhidi ya UKIMWI.
Au mnasemaje wadau?
Naomba kusahihishwa ila hoja ndo hiyo aliyesikia na asikie ataeona nina wivu ni haki yake kuona hiyo.
Nawakilisha
Sijawahi kuchangia wala kuandika hoja katika uwanja huu mbali ya kuwa mwanachama kwa zaidi ya mwaka mmoja. Kilichonivuta leo kuandika hapa ni upotoshaji wa hali ya juu ambao jamii ya Watanzania imekuwa inafanya jambo ambalo laweza kumaliza hiki kizazi.
Jambo hili kubwa linalonikera ni vitendo vya kuficha kwa makusudi tu sababu ya vifo vya hao waheshimiwa. Ni ukweli ulio wazi "data ninazo" kuwa Amina chifupa kafa kwa UKIMWI na mumewe Mpakanjia kamfuata kwa UKIMWI huo huo less than two years later. Lakini utakachosikia alikuwa na Pneumonia. Kwa nini mdanganye? Semeni basi kafa kwa ugonjwa ambao hatutaki kuusema..tuelewe kimoja.
Hii tabia ya kuficha ficha na kusingizia kulogwa, pneumonia, malaria na kuendelea haiisaidii jamii ya kitanzania na mapambano dhidi ya UKIMWI.
Au mnasemaje wadau?
Naomba kusahihishwa ila hoja ndo hiyo aliyesikia na asikie ataeona nina wivu ni haki yake kuona hiyo.
Nawakilisha