Tusaidiane! Yana ukweli ndani yake?????????

sio kweli kama ni kweli ni % 10 na epuka maneno ya watu wanapenda sana kukatisha tamaa..wewe apply kazi yoyote unayoiona na pia andika cv ako vizuri tafuta hata washauri waione cv yako


ndugu yangu we ni guest person kwenye mambo haya hhebu rejea vacancy za udom mwaka jana, alichokiuliza kina ukweli % nyingi zaidi ya unavyofikiria acha kutetea vitu usivyovijua, au mwenzetu ni member ktk chama cha waajiri?
 
ndugu yangu we ni guest person kwenye mambo haya hhebu rejea vacancy za udom mwaka jana, alichokiuliza kina ukweli % nyingi zaidi ya unavyofikiria acha kutetea vitu usivyovijua, au mwenzetu ni member ktk chama cha waajiri?

unajua wengi wanaongea haya mambo kinadharia, hali ni mbaya kuliko tunavyofikiri.
 
ni kweli jamani! hali ni mbaya sana! ni mbaya kwa kweli! mimi mfano nilisoma education as ma first degree so nilipata ajira moja kwa moja sasa nimesoma post ya monitoring and evaluation (M&E)! ki ukweli kazi hizi zinatangazwa kila siku na na apply kila siku! sija experience kutafuta kazi you know! sasa ndo naona hali ni mbaya sana! na wapo watu nawajua wameajiriwa kama M&E na wanalipwa vizuri sana na hawakusoma hiyo course! dah! nimejitolea mfano tu wadau! najua kuna wimbi la vijana wasomi kama mm wanatafuta kazi for years! jamani! jamani! hali ni mbaya! ajira hakuna nimeamini sasa! sijui! hii nchi inahitaji maombi ya kuomboleza na kujipaka majivu kama eliya! hahahahah! MUNGU IBARIKI TANZANIA! MUNGU WABARIKI VIJANA WA TANZANIA!
 
judith hii kweli na tupo wengi wenye kilio kama na zaidi ya chako,kung'ekuwa na uwezekano huu wa kama eliya wallah tuombeleze wadau naunga mkono hoja 100%
 
ni kweli jamani! hali ni mbaya sana! ni mbaya kwa kweli! mimi mfano nilisoma education as ma first degree so nilipata ajira moja kwa moja sasa nimesoma post ya monitoring and evaluation (M&E)! ki ukweli kazi hizi zinatangazwa kila siku na na apply kila siku! sija experience kutafuta kazi you know! sasa ndo naona hali ni mbaya sana! na wapo watu nawajua wameajiriwa kama M&E na wanalipwa vizuri sana na hawakusoma hiyo course! dah! nimejitolea mfano tu wadau! najua kuna wimbi la vijana wasomi kama mm wanatafuta kazi for years! jamani! jamani! hali ni mbaya! ajira hakuna nimeamini sasa! sijui! hii nchi inahitaji maombi ya kuomboleza na kujipaka majivu kama eliya! hahahahah! MUNGU IBARIKI TANZANIA! MUNGU WABARIKI VIJANA WA TANZANIA!

haya mambo yasikie tu.
 
mambo ya kujuana yapo kataeni kubalini na mifano ni mingi watu tunayo, ni sawa mpeni moyo lakini vitu vipo sana ivo

kuhusu kazi wandugu hata ukienda ulaya swala lakujuana linasehemu yake kubwa tu na sio tanzania peke yake. Swala lamsingi nikukomaa tu, ukipata shukuru Mungu ukikosa vuta pumzi usonge mbele, ukiona haujiriwi buni ajira ujiajiri na uwajiri wengine pia labda haukuzaliwa kuajiliwa!
 
Back
Top Bottom