Tusaidiane VPN ya Halotel wakuu

Tusaidiane VPN ya Halotel wakuu

Mbona unaonekana ni mbobezi Mkuu au unatuchora? Mtu wa tech haujui kuhusu hii kitu kweli??
Nilichokua najua ni kwamba hawa watu wanaofanya kwenye haya makampuni yanayouza internet wanaweza kufanyia bypassing kwenye data charges lakini hii ya free internet via VPN nilikuwa sijui(uongo mbaya)

Kwenye tech.mambo yanabadilika kila sekunde ukilala unakuta mambo mapya ndio maana inabidi usiwe mwepesi wa kutoa hitimisho(inabidi kujifunza kila wakati)
 
Kaka siku hizi VPN zinatumika kupata free internet au nimewaza sana?

Sio kwamba VPN inatumika kuongeza layer tu katika mfumo mzima wa kutuma na kupokea taarifa?I mean inatumika kuficha IP address au zipo ambazo unaweza kuzitumia kupata free internet?
Naona upo mbali sana na ulimwengu wa tech. Hii kitu inawezekana hata mm mwanzoni nilikuwa na fikiri kama wewe. Walee wazee wa UDP tigo kina Droid VPN na Stark VPN, Ha tunnel n.k Airtel. Nimetumia sana na kuna ile ya voda. Mzee ni mserereko tu kama una bando. Unawezesha kwenye simu, una change proxy kwenye PC ni mserereko kama una bando.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom