Zipo babuu, tushatumia sana enzi za chuoKaka siku hizi VPN zinatumika kupata free internet au nimewaza sana?
Sio kwamba VPN inatumika kuongeza layer tu katika mfumo mzima wa kutuma na kupokea taarifa?I mean inatumika kuficha IP address au zipo ambazo unaweza kuzitumia kupata free internet?
Inakuwa ni VPN au unafanya bypassing?Zipo babuu, tushatumia sana enzi za chuo
Ni apps kabisa za VPN ukiiwasha pamoja na data unateleza bila maipo.Inakuwa ni VPN au unafanya bypassing?
Zipo za kupata free Internet MkuuKaka siku hizi VPN zinatumika kupata free internet au nimewaza sana?
Sio kwamba VPN inatumika kuongeza layer tu katika mfumo mzima wa kutuma na kupokea taarifa?I mean inatumika kuficha IP address au zipo ambazo unaweza kuzitumia kupata free internet?
Dah nilikuwa sijui inabidi nikafatilie zaidi.Maana nachojua hili ku- activate VPN unahitaji internet.Na mwenye kutoa internet ni hawa internet service providers ambao sio wamiliki wa hizi VPN.Zipo za kupata free Internet Mkuu
Wahuni wanafanya tunnelling za free ports kwenye mitandao. VPN inakufunika usigundulike tu.Dah nilikuwa sijui inabidi nikafatilie zaidi.Maana nachojua hili ku- activate VPN unahitaji internet.Na mwenye kutoa internet ni hawa internet service providers ambao sio wamiliki wa hizi VPN.
Ndio maana nilibaki na maswali kichwani mwangu
Dah nilikuwa sijui ndugu.Sema tech ina mambo mengi japo hili kwangu limekuwa geni kidogo itabidi nifuatilie au unaweza kunijuza hizo app kama zitakuwa bado active.Ni apps kabisa za VPN ukiiwasha pamoja na data unateleza bila maipo.
Nilipo haifiki ni ndani ndani sana fibre ya halotel imepita barabarani tuNimezitumia sana kipindi najitafuta, kuna vpn simu ilikuwa inaisha chaji haraka na kupata joto
Ila kwa sikuhizi kama upo sehemu kuna fibre ni bora uvute, elf 55 kwa mwezi bila kikomo, mnaweza kujipanga watu wawili elf 27 kila mwezi,
Njoo nikupe mchongo haramu angalau tutoke huku chini Mzee😅😅We jamaa umenifananisha na Lukasi mi sio chawa
Mbona unaonekana ni mbobezi Mkuu au unatuchora? Mtu wa tech haujui kuhusu hii kitu kweli??Dah nilikuwa sijui ndugu.Sema tech ina mambo mengi japo hili kwangu limekuwa geni kidogo itabidi nifuatilie au unaweza kunijuza hizo app kama zitakuwa bado active.
VPN nimezoea kuona ikitumika kuhide IP address na kufanya data encryption ndio maana nilabaki kujiuliza sana kama hiki kitu kikinawezekana