meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
je turufu ya chadema katika jimbo la arumeru mashariki iko wapi?ni swali ninalojiuliza sasahivi bila kujali mimi ni mpenzi wa chama gani.wazee ni wengi na wanaheshimika katika jimbo hili.chadema wana mwanaharakati aliyepigwa risasi kutoka kitongoji cha usa ndani ya jimbo hilo,je hii ni turufu yao?wanawake ni asilimia 49+ je watatumia wingi wa wanaume?wameru wengi ni wapenda dini(uinjilisti)je chadema wameaandaa muokovu?wakuu tufanye analysis ili kujua nani ataibuka mshindi katika jimbo hili.
Nawasilisha...
Nawasilisha...