Hata Sina kinyongo
Senior Member
- May 16, 2020
- 118
- 280
Tanzania bado ni nchi itayoitawala Afrika Mashariki kwa miaka mingi ijayo. Kwanini;
Ieleweke, usalama na uhakika wa kuwa hapo alipo Rais Museveni bado ni uimara wa kiulinzi, kiintelijensia na kwa kutotaka kuungana kwa Serikali ya Tanzania na Rwanda ili kumuondoa Kaguta pale alipo japo Rwanda muda wote anatamani kuweka mapandikizi yake ktk utawala wa Rwanda.
Kuhusu Burundi Tanzania ni zaidi ya baba kwake! Bila msimamo wa Tanzania kuihusu Burundi leo ingeshabaki historia kwamba ulikuwepo utawala wa Nkurunzinza....
Muktadha wangu ni huu; Rwanda hana cha kuifanya, kuikomoa ama kuiumiza katika lolote serikali ya Tanzania kwa sababu atakayeathirika mno na uamuzi wowote hapo juu yeye ndiye hasa ataathirika zaidi.
Wenye jicho la kiintelijensia ndiwo pekee wataelewa kuhusu kipi nimeongelea.
Ieleweke, usalama na uhakika wa kuwa hapo alipo Rais Museveni bado ni uimara wa kiulinzi, kiintelijensia na kwa kutotaka kuungana kwa Serikali ya Tanzania na Rwanda ili kumuondoa Kaguta pale alipo japo Rwanda muda wote anatamani kuweka mapandikizi yake ktk utawala wa Rwanda.
Kuhusu Burundi Tanzania ni zaidi ya baba kwake! Bila msimamo wa Tanzania kuihusu Burundi leo ingeshabaki historia kwamba ulikuwepo utawala wa Nkurunzinza....
Muktadha wangu ni huu; Rwanda hana cha kuifanya, kuikomoa ama kuiumiza katika lolote serikali ya Tanzania kwa sababu atakayeathirika mno na uamuzi wowote hapo juu yeye ndiye hasa ataathirika zaidi.
Wenye jicho la kiintelijensia ndiwo pekee wataelewa kuhusu kipi nimeongelea.