geniusMe
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 1,312
- 1,786
Zilikua zinagoma kujaza chache huwezi amini me nimejaza kozi mbili tu tena hapo nyingi ingekua kipindi cha kujaza koz zote hizo ningechaguliwa kozi ya kimama.Brother, kama umeambiwa uchague kozi tano, ukachagua unazotaka wewe ukaipata ya mwisho hapo unalalamikaje? kama ulkuwa huitaki si hauichagui bro? System ilkuwa inataka kujaza maximum kozi tano, me nilijaza tatu tu, why nijaze tano wkt sizihitaji!!! na nkapata ya kwanza!!! so kupata kozi ya mwisho wkt ww mwenyewe uliiweka unalaumuje system?