Mavindozii
JF-Expert Member
- Oct 20, 2012
- 2,111
- 2,759
Hello Team Magari naombeni kuuliza Suzuki Jimny yangu Turbo yake haifanyi Kazi .Niko Arusha
Mjini msaada please
,
Mjini msaada please
,
Ilitoka Dar juzi ikiwa na nguvu kufika Bagamoyo ule mluzi wa Turbo ukapotea pia mkuu.Na gari ikaisha Nguvuumejuaje haifanyi kazi?
Mkuu pole sanaHello Team Magari naombeni kuuliza Suzuki Jimny yangu Turbo yake haifanyi Kazi .Niko Arusha
Mjini msaada please
,
Pole sanaaa kaka japo turbo mpka kufa completely kuna signs lazima uzione je uliweza kuona iko kitu ? Cz gari kuosha nguvu ndio n sign ya turbo kutokuwa proper ila je umejarbu kuangalia even pipes zake ka ziko fit switched if una uhakika imekufa naweza kuelekeza mtu wa kukusaidia me niko darHello Team Magari naombeni kuuliza Suzuki Jimny yangu Turbo yake haifanyi Kazi .Niko Arusha
Mjini msaada please
,