Smartgal911
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 1,041
- 1,716
Kama ni mke au mume sawa, lakini siyo penzi jipya basi tupunguze au kuacha kabisa kujielezea mambo yetu binafsi. Iwe ni kuhusu wazazi wetu au sisi wenyewe. Nasema hivyo maana mapenzi ya siku hizi hayadumu, mkiachana tu ni rahisi huyo ex wako kukuchafua kwa wengine kutokana na historia ya maisha yako.
Ukipata mpenzi fanyeni yaliyowakutanisha then kila mtu aendelee na mambo yake.
Nakumbusha, kuachana kupo tusijielezee sana haitokusaidia kitu historia ya maisha yako kubaki nayo ex wako.
Ukipata mpenzi fanyeni yaliyowakutanisha then kila mtu aendelee na mambo yake.
Nakumbusha, kuachana kupo tusijielezee sana haitokusaidia kitu historia ya maisha yako kubaki nayo ex wako.