rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Mimi sikubaliani kabisa na gharama watu wanazojibebesha kwenye suala zima la harusi matokeo yake wanasumbua watu wengine kwa michango kero kero ~ "Mimi ya kwangu nilikwenda bomani na fiance na mashahidi ikafungwa ndoa pale baada ya hapo tukaenda five star hotel na ndugu, jamaa na marafiki kila mtu akachagua meza inayomfaa, akatumia chochote akipendacho/atumiacho...na baada ya hapo kila mtu akalipia bill ya service aliyopokea"
ndugu yangu kabisa kafunga harusi kubwa kwa sababu eti ana marafiki wengi,lakini amini usiamini ndoa imekaa miezi 9 ikavunjika vipande vipande,nimeenda kumwona juzi hali yake sio nzuri,kakonda kwelikweli,mambo hayo!