Tupike prawns(kamba)wa nazi

Tupike prawns(kamba)wa nazi

Hku kwetu hao huwa tunatupa tu, tukiwachambua kweny dagaa.
 
Mkia unasababisha mchuzi kuwa mzito. Supu ya samaki fresh ni chumvi na maji tu. Hoho karoti ziende kwenye samaki wenye shombo..... Vibua ksmbale ngizi 😁😁😁
Mkia una supu gani huo,
Mpaka kinyaa
 
Kwa ulani huu mzuri utakuwa ma kishundu kinono dada yangu
 
Next time tia Black Pepper na Oregano kuongeza ladha zaidi.
Unajua sowez kutumia hivo viungo hebu nifundishe natamni sana kujua sama matumiz ya oregano black peper situmii
 
Aawww my Favorite sea food, yaani nilishamaliza hotel zote zenye kujua kuanzia kuwaoka, kukaanga, kuwaroast. Hao unawalia kwa chips, wali, ugali, ndizi mzuzu, n.k ahsante Aaliyyah kwa pishi hili leo.
 
Unajua sowez kutumia hivo viungo hebu nifundishe natamni sana kujua sama matumiz ya oregano black peper situmii
Izo spices zote ni pilipili, itakua sio mtumiaji wa pilipili wewe au umezoea green/red pepper na chili
 
Hongera kwa pishi mwana dada,,,, ! Sivutiwi sana na sea foods,,,,!" Sijui hi ubara wangu ama vp ,,, ! Hata nikila ni kidogo tu !!!!"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom