Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,994
- 48,498
I hope mnaendelea vizuri leo nimewaletea prwans wengine tunaita dagaa kamba wa nazi watu wa pwani nafikiri mtakuwa mnaelewa utamu wa kamba
Mahitaji
Prawns 🦐 wabichi
Nyanya moja ndogo
Karot,hoho,tangawizi,saumu,kitunguu maji na nazi
Nimeanza kwa kuwatoa prwans vichwa na ngozi ya juu ili ibaki nyama ya ndani
Nikawaosha kisha nikawaweka kitunguu swaumu na tangawiz nilosaga nikamarinate kwa muda wa dakika 10 kuacha viungo viingie vizuri
Nikaandaa viungo nikasaga nyanya karoti na kukata kitunguu maji
Nikabandika sufuria jikoni nikaweka mafuta ya kula kidogo nikaanza kwa kukaanga kitunguu sikutak kiwe brown kilivolainika nikaweka prawns kisha chumvi kidogo nikawakaanga kwa dakika chache
Kisha nikaweka karoti kisha hoho nikageuza geuza had nilipoona viungo vimelainika
nikaweka maji vijiko 4 vya chakula ili niwez kuweka nazi yangu vizuri kwan nilitumia ya pakt ilikuwa nzito sana
Nikaacha kwa dakika 3 wakawa tayari unaweza kula na wali au chochote unachopenda
Mahitaji
Prawns 🦐 wabichi
Nyanya moja ndogo
Karot,hoho,tangawizi,saumu,kitunguu maji na nazi
Nimeanza kwa kuwatoa prwans vichwa na ngozi ya juu ili ibaki nyama ya ndani
Nikawaosha kisha nikawaweka kitunguu swaumu na tangawiz nilosaga nikamarinate kwa muda wa dakika 10 kuacha viungo viingie vizuri
Nikaandaa viungo nikasaga nyanya karoti na kukata kitunguu maji
Nikabandika sufuria jikoni nikaweka mafuta ya kula kidogo nikaanza kwa kukaanga kitunguu sikutak kiwe brown kilivolainika nikaweka prawns kisha chumvi kidogo nikawakaanga kwa dakika chache
Kisha nikaweka karoti kisha hoho nikageuza geuza had nilipoona viungo vimelainika
nikaweka maji vijiko 4 vya chakula ili niwez kuweka nazi yangu vizuri kwan nilitumia ya pakt ilikuwa nzito sana
Nikaacha kwa dakika 3 wakawa tayari unaweza kula na wali au chochote unachopenda