Tupike ndizi nyama ya kukaanga

Tupike ndizi nyama ya kukaanga

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,467
Reaction score
65,781
Hello

Najua mesoma sana thread za siasa now mnatakiwa kutuliza akili ikae sawa kidogo

Tuanze mtindo uhu ni raisi na hauli mda wako kabisa
Kwanza menya ndizi zako kisha kata style unayopenda mimi nilichanganya na viazi baada ya hapo kaanga zio ndizi na zisikauke sana

Baada ya hapo chukua sufuria yako na nyama ilio chemshwa anza kukaanga na uweke kitunguu
1751467145998.jpeg

Kitunguu hakikisha hakiungui kabisa kikisha legea weka ndizi
1751467193548.jpeg

Na baada ya hapo zichanganye vizuri kisha weka hoho na karoti zako
1751467237677.jpeg

Kisha changanya nazo vizuri moto weka mdogo tu ili ziive pole pole usiwe na haraka
1751467293424.jpeg

Chakula changu kinaonekana kama hivyo karibuni sana wote ukijua kupika hiki chakula uta tamani kila siku upike
1751467356556.jpeg
Na juice yako freshi kabisa jioni imepita

Cc: kitalembwa GWAMAKA USWEGE min -me mbwangali Harmful Half american ephen_ Poor Brain Mwendamseke Financial Analyst financial services
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom