Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,583
- 66,265
- Thread starter
- #21
Mbuzi namna hiiSamahani uli kalia kigoda ndio uka kuna nazi au uli kalia ile mbuzi?.
Zulu man, Vishu Mtata njooni mpike kashata.
Mbuzi namna hiiSamahani uli kalia kigoda ndio uka kuna nazi au uli kalia ile mbuzi?.
Zulu man, Vishu Mtata njooni mpike kashata.
Upo mbali ungeletewaYummy
Kwenye cm yako kuna picha ina kosekana ya kitu?Hapo lazima akalie mbuzi kukuna nazi , akikaa kwenye kigoda mbuzi itakosa balance wakati wa kukuna , na akikalia mbuzi lazima afyetue kiuno kidogo ili akune nazi, njia nzuri kutunza heshima ya kiumeni ni kukaa upande miguu ielekee upande mmoja 🤣View attachment 3483940
Oicha ni nini bwashee?Kwenye cm yako kuna oicha ina kosekana ya kitu?
Means pichaOicha ni nini bwashee?
Oooh zipo tu mkuuMeans picha
Bila shaka alitumia mashine ya kukwanguliaSamahani uli kalia kigoda ndio uka kuna nazi au uli kalia ile mbuzi?.
Zulu man, Vishu Mtata njooni mpike kashata.
Mwanaume na nazi, mwisho utakuwa mchele.Bila shaka alitumia mashine ya kukwangulia
Ni ujuzi wa mapishi mkuu.Mwanaume na nazi, mwisho utakuwa mchele.
Asante mnooo
Karibu tena na tenaAsante mnooo