Tupike kashata za nazi

Tupike kashata za nazi

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,467
Reaction score
65,789
Hell
Mliomba sana nipike kashata za nazi hizi hapa


Kwanza kuna nazi yako vzr tu
1759672715565.jpeg

Ukisha maliza anza kuweka maji kwenye sufuria yako kisha weka sukari pamoja na vanila acha vichemke kiasi iwe ina nata nata fanya kama hivi

1759672797636.jpeg

Baada ya hapo anza kukologa pole pole ukiwa teyari umesha weka nazi yako yaan machicha ya nazi
1759672903073.png

Hakikisha ukiipua nazi yako haina maji iwe kavu kisha weka kwenye ubao au mezani anza kukatakata uku umewasha feni ili ziwai kukauka
1759673019554.jpeg

Utakata style uipendayo wewe mimi nimekata style hii
1759673060886.jpeg
 
Samahani uli kalia kigoda ndio uka kuna nazi au uli kalia ile mbuzi?.

Zulu man, Vishu Mtata njooni mpike kashata.
Hapo lazima akalie mbuzi kukuna nazi , akikaa kwenye kigoda mbuzi itakosa balance wakati wa kukuna , na akikalia mbuzi lazima afyetue kiuno kidogo ili akune nazi, njia nzuri kutunza heshima ya kiumeni ni kukaa upande miguu ielekee upande mmoja 🤣
1759677917900.jpg
 
Hapo lazima akalie mbuzi kukuna nazi , akikaa kwenye kigoda mbuzi itakosa balance wakati wa kukuna , na akikalia mbuzi lazima afyetue kiuno kidogo ili akune nazi, njia nzuri kutunza heshima ya kiumeni ni kukaa upande miguu ielekee upande mmoja 🤣View attachment 3483940
Huyu ni mbunifu, so ali kalia mbuzi ndio maana nazi ime sagika vere.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom