kichakaa man
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 5,479
- 5,068
Naona tuanzishe hii post ya kupost picha au matukio yoyote ya wanga yaani mida ya wanga tupia picha yoyote au tukio lolote.
Mimi naanza na hii kwa leo.
Mimi naanza na hii kwa leo.
Usiku huu inatishaNaona tuanzishee hii post ya kupost picha au matukio yoyote ya wanga . yaani mida ya wanga tupia picha yoyote au tukio lolote
MIM naanza na hii kwa leo
avatar yako nayo inatishaDah sijui hata kwanini nimefungua huu uzi, kunapicha imenitisha kidogo nitupe simu.
Yop!Bila shaka na nyinyi ni wanga,mnawezaje kuwa na picha kama hizi
Horror movies zimenilemaza na zenyewe siku hizi hazinitishi, picha mlizoweka naona mnacheza tu makida makida, hazitishi hata kidogo.
Hamna kitu bado!