Tupia majina ya baa za zamani

Tupia majina ya baa za zamani

mungasulwa

Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
48
Reaction score
14
Kwa wakata kiu, tupieni majina ya bar za zamani; Mie nakumbuka Mpilipili,Deluxe -Magomeni, Bingwa bar, Congo bar-Kkoo,Kingstar,White Inn,Bobs Motel, Queen of Sheba,Gaza one,Mori bar-Sinza...endelea.
 
Naikumbuka Njalalikoko ilikuwa maeneo ya ngarasero USA RIVER - Arusha
 
Ruvuma mpaka Maputo bar...Kurasini. Kigongo bar Buguruni. Super Fanaka bar. Makonde bar.
 
New Magomeni Mikumi Lango la jiji.
 
Manywele Bar ubungo! Mikoroshoni Bar Mlalakuwa; White house Ubungo.
 
Mikocheni by night iko Mikocheni, kamanyola ilikuwa kawe ukwamani
 
Nelys Grocey Msasani jirani na kwa Mzee Mwinyi. Masonenyi (ipo Dodoma). Mti Mpana, na nyingine Kampenta (Kurasini Shimo la Udongo). Highway (Shimo la Udongo), Makuti Baa (Kurasini), Busamba (Musoma mjini)
 
SISIMIZI Bar ..Njia panda ya chuo(udsm), Suezi Bar ( Arusha sanawari mataa), Honolulu Bar (Arusha sanawari ya juu)......
 
Mabula bar na rexona bar pale tabora hahahaha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom