Tupia majina ya baa za kibongo

Tupia majina ya baa za kibongo

Rambo Bar Manzese!
Kona Bar Afrika Sana!
Kimboka Bar Buguruni!
 
Traffic jam bar,hii ni mashuhuri kwa wale wenye magari wanaotoka mwenge kupita ubungo mataa,sasa ukiona foleni kali unachepuka service road unaingia traffic jam bar!Hapo unapiga ''kitwanga'' mpaka foleni ilegeze!Ukiwa unavuka barabara maeneo hayo kuwa makini coz watu wanakuwa high sana!
 
Back
Top Bottom