Tupia jina la memba mmoja wa JF ambaye katoweka humu

adden

JF-Expert Member
Dec 27, 2015
7,035
15,540
Wanajukwaa. Heri ya mwaka mpya! Poleni na pilika za hapa na pale.

Uzi huu maalum iwe kwa kuwakumbuka memba wa JF ambao kwa sasa hatuwaoni wakitoa michango yao humu. Iwe ametutoka kiroho au amebadili user ID au vinginevyo na kadhalika.

Waliotutoka tutawaombea wapate makazi mema na wagonjwa tutawaombea wapate afya njema warudi humu.

Mimi kuna mshkaji alikuwa anatoa michango mwanana sana ni kitambo simsomi humu anaitwa MANUU basi popote alipo namkaribisha sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom