Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,139
- 12,286
Magoli gani hayo wakati magoli yenyewe yalifungwa kwa mateke... Kwanza usinifokeeee
We sema maneno ya kujifariji tu.Sawa Mtani, afadhali una maneno ya kujifariji mazuri kama hayo, inapunguza msongo wa mawazo.
Morrison mmemsamehe? Nasikia baada ya kupanda mpira, sasa hivi amepanda vichwani.
We sema maneno ya kujifariji tu.
Aaah!! Mtani mi hata sitaki kujua sarakasi zake zinaendeleaje kwa kweli. Mana huwa najikuta natamani ningekuwa wale viongozi sababu naona kama wanamchekea chekea tu.
Mkafanye yenu yappi? 😎😎Hilo fupa hangaikeni nalo, ni la kwenu.
Sisi na wadogo zetu Namungo tunasubiri mashindano ya kimataifa yaanze tukafanye yetu.
Mkafanye yenu yappi? 😎😎
Hahahahahaa!! Niseme tu mwisho wenu unajulikana Mtani. 😎Simba na Namungo zinakuwa timu za kwanza kuliwakilisha Taifa toka tumeingia uchumi wa chini kati.
Hivyo hatutaliangusha Taifa.
Hahahahahaa!! Niseme tu mwisho wenu unajulikana Mtani. 😎
Jamuhuri ya watu wa Buza wanavituko sanaaaa 😁😁😁