kikiboxer
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 3,076
- 8,132
Mkuu emu njoo hapa mlimani city tuyajenge niwaite na Millard ayo tv chap.Chura ninayo rangi ya mtume ninayo na sura nzuri babe face ninayo tatizo ni ntawapa wap? Au mbinu ndiyo sijui?
Mkuu emu njoo hapa mlimani city tuyajenge niwaite na Millard ayo tv chap.Chura ninayo rangi ya mtume ninayo na sura nzuri babe face ninayo tatizo ni ntawapa wap? Au mbinu ndiyo sijui?
Magomeni pale GardenbreezyLiko wapi hilo?
Sanaa ya Maigizo pia wana series zinashutiwa kwa sasa.Linahusika na nini?
Kama Una umri chini ya miaka 25 nikufanyie connection ya WCB,au nikusogeze Kwa Baba levo..upo Tyr?Labda kidooogo uigizaji tu
Kama wanaogopa kukutongoza watongoze wewe kwasababu umeamua kupata pesa kupitia wanaumeHapa mtaani hamna wenye hela hlf na huu uheshimiwa wangu wengi wananiogopa kunitongoza
Fanya hivyo.Labda kidooogo uigizaji tu
Unaweza ukamuiga mama J alichofanya soon upo on top of the leagueTupeane tips za kujulikana hapa bongo kuwa super star., Ni kama vile nahisi ukiwa star ndiyo hata mabwana wenye pesa unawapata maana siye wengine tunaitwa warembo huku mtaani lakini dah! Mabwana wa maana hata hatuwapati, gigs za maana hakuna kabisa sijui tunakosea wap
Uzi tayari!
Nipe mkeka wa LeoAnza kutiwa mdogo mdogo na hao wa mtaani, ukimaliza wote utakuwa famous hapo mtaani baadae famous Tanzania kiujumla
Mbuyu ulianza kama mchicha
Anza kutiwa mdogo mdogo na hao wa mtaani, ukimaliza wote utakuwa famous hapo mtaani baadae famous Tanzania kiujumla
Mbuyu ulianza kama mchicha
Leo nina treni...litakufaa?Nipe mkeka wa Leo
Chura ninayo rangi ya mtume ninayo na sura nzuri babe face ninayo tatizo ni ntawapa wap? Au mbinu ndiyo sijui?
Nitafanyaje sasa 😅umemjibu ki hardcore sana mkuu
Aisee!Anza kutiwa mdogo mdogo na hao wa mtaani, ukimaliza wote utakuwa famous hapo mtaani baadae famous Tanzania kiujumla
Mbuyu ulianza kama mchicha
Kosoa kila anacho kifanya Mkuu wa nchiMi ni mwanasiasa lakini sijui siyo mbunifu? Na sijui nifanyaje hata
Nipe mkuuLeo nina treni...litakufaa?
Mkuu hunitakii mema japo najua ndiyo njia iliyowatoa kina polepoleKosoa kila anacho kifanya Mkuu wa nchi
Dah!Nenda Kanye Pale Posta nje ya Jengo la Benjamini...Kesho tu tunakujua