Almost program zote huwa zinafanana majina (Bulk sms) tofauti ipo kwenye mmiliki wa software. India wapo vizuri sana kwenye haya mambo ila sometimes wanaboa kuwa na limitation ya nchi za kutumia program zaoMkuu kwa hiyo unanishauri nitumie program/application gani ili niweze kutuma meseji nyingi kutoka kwenye excel file?
Michonyo tu hii!!Yaan thread iwekwe huku wewe unataka watu waje Makumbsho dah
Wewe unafanyaje mkuu??...Activation sio issue, mi natumia ambayo haijawa activated karibu mwaka sasa na haijawahi kunisumbua
Hakuna trick yoyote, yani kiufupi Ms office kutokuwa activated sio issue na asilimia kubwa huwa wanatumia hivyo hivyo mana kila baada ya muda flani huwa inahitaji uiactivate tena na tena, sasa wengi tunapuuzia tu kwa sababu program inaendelea kutumika tu hivyo hivyo bila shidaWewe unafanyaje mkuu??...
Sasa kwa kesi yangu ya kushindwa kutype na kufanya changes mkuu ndio changamotoHakuna trick yoyote, yani kiufupi Ms office kutokuwa activated sio issue na asilimia kubwa huwa wanatumia hivyo hivyo mana kila baada ya muda flani huwa inahitaji uiactivate tena na tena, sasa wengi tunapuuzia tu kwa sababu program inaendelea kutumika tu hivyo hivyo bila shida
Jaribu kufungua file lingine uone inatokeajeSasa kwa kesi yangu ya kushindwa kutype na kufanya changes mkuu ndio changamoto
Poa nitaleta mrejeshoJaribu kufungua file lingine uone inatokeaje
Kama unatumia microsoft office ambayo haijawa activated unaweza ukaiactivate kwa kufata hizi hatuaSasa kwa kesi yangu ya kushindwa kutype na kufanya changes mkuu ndio changamoto
Shukrani mkuu, ngoja nijaribu hii alternativeKama unatumia microsoft office ambayo haijawa activated unaweza ukaiactivate kwa kufata hizi hatua
This PC>>Local disc C>>program files (86)>>Common files>> Microsoft shared>>Officesoftwareprotectionplatform>>ospprearm.exe (right click, then run as an administrator). Baada ya hapo fungua file lolote la Microsoft office iwe ni Ms Word, Excel n.k utaona yale maandishi ya Activation Failed yamepotea, hapo itakuwa tayari iko activated
Mkuu naona inaishia hapo, haifiki kwenye ospprearm.exeKama unatumia microsoft office ambayo haijawa activated unaweza ukaiactivate kwa kufata hizi hatua
This PC>>Local disc C>>program files (86)>>Common files>> Microsoft shared>>Officesoftwareprotectionplatform>>ospprearm.exe (right click, then run as an administrator). Baada ya hapo fungua file lolote la Microsoft office iwe ni Ms Word, Excel n.k utaona yale maandishi ya Activation Failed yamepotea, hapo itakuwa tayari iko activated
Itakuwa umeclick mara moja, click mara mbili kama unaifunguaMkuu naona inaishia hapo, haifiki kwenye ospprearm.exeView attachment 2561387
Hiyo channel ya telegram mbona siioni?Wadau,
Kujua Excel Spreadsheets ni muhimu sana...
Tunaweza tukashirikishana tricks mbalimbali katika Excel hapa ili tujifunze wote..
Unaweza pandishwa CHEO au Kupata kazi kirahisi Kwa kujua EXCEL vizuri.. Watanzania wengi udhaifu wao upo hapo.. So Unaifanya WEAKNESS hiyo kuwa Strength kwako.Kwenye Ofisi yeyote mtu ambaye haogopi excel huwa anaonekana ni kichwa sana.. unaweza pia ukamvutia bosi wako kama utaijua kumshinda yeye na atakufanya rafiki yako ili usimuumbue...
Kwenye Interview ndio utawamaliza kabisa ..ukikutana na viherehere wakakuchokoza hapo ndio unawaonesha ujuzi wako wote... wengi huwa hawaijui kwasababu ya uvivu... Kwa hiyo usiogope..Niliwahi ulizwa swali na panelist kwenye Interview nikaenda deep mpaka akaogopa maana kuna vitu alikuwa havijui na yeye akaamua apotezee hilo swali akarukia kitu kingine kukwepa aibu..
Weka Trick yako hapo chini ili wengine wafaidi au kama unaswali uliza nitakujibu mimi au wadau wengine...
Ingependeza sana pale unapokwama uulize swali hapa.. Ili tujadiliane vitu ambavyo ni useful katika mazingira yetu ya shule au kazini...
Dunia ya sasa sio lazima uende darasani.. Unaweza tumia muda wako na MB zako vizuri mtandaoni na ukaongeza Ujuzi polepole
**Kama unatafuta kazi na umeandika Kwenye CV kwamba una ujuzi na Excel fuatilia huu uzi na group uwe updated na vitu mbalimbali ili usije umbuka siku ukiwa unafanya written au Oral Interview
** Nitakuwa naelezea Common questions ambazo waajiri hupenda kuuliza kukupima uelewa wako katika Spreadsheets.. Ni Muda na MB zako tu.. Sihitaji kingine...
Please NOTE
** Usiulize kitu unachokijua kupima watu Bali andika trick unayoijua ili wengine wafaidi na kama unaswali ULIZA wataalam tutakusaidia
PS:
Kama upo Telegram unaweza Ingia Kwenye Public Channel ipo hapo chini Kwa vitu ambavyo haviwezekani kuelezewa hapa vizuri..Kama video na files. Ni public channel ya kusoma na Sio sehemu ya chatting!
Naomba kuwasilisha!
Ethos
Nilijaribu kila namna lakini wapi!!!, Lakini Mungu ni mwema nikarestart computer (Restart & Update) baada ta masaa matatu hali ikatengamaa...Sahii nafanya tu kazi zangu....but still nahitaji kuijua hiyo njia just in caseItakuwa umeclick mara moja, click mara mbili kama unaifungua
Kwanza hakikisha tarehe zipo ktk format moja,select hiyo column ya tarehe yote,nenda Home>Format>Date, alafu chagua format ya tarehe unayoipenda,baada ya hayo ziarrange hizo tarehe kwa kusort,nenda Data kisha sort either kutoka tarehe kubwa kwenda ndogo au viceversaWakuu samahani Nina data zangu nimeweka za receipts Sasa tarehe niliyoweka hazijapangana kwa mpangilio nataka njia ya kufanya zijipange kutokana na tarehe na mwezi husika.View attachment 2590648
Select columns zote, then click Data tab hapo juu, then hapo kwenye Sort click hiyo A to ZWakuu samahani Nina data zangu nimeweka za receipts Sasa tarehe niliyoweka hazijapangana kwa mpangilio nataka njia ya kufanya zijipange kutokana na tarehe na mwezi husika.View attachment 2590648
Nimejaribu naona inapanga only tarehe tu Hai consider mweziSelect columns zote, then click Data tab hapo juu, then hapo kwenye Sort click hiyo A to Z
Hiyo ni incase kama date column ndio first column ktk table yako, next time unaweza ukawa unataka kusort the whole table lakini date column au column yoyote unayotaka kuitumia kufanya sorting ipo katikati au mwishoni so for this case utaclick hilo neno Sort, utaona kibox, utachagua column yako hapo kwenye "Sort by" (eg date column), then kwenye "Sort On" utaselect Values na kwenye "Order" utaselect "Oldest to Newest"