Tupeane maarifa ya biashara ya butcher

MWONA MBALI

JF-Expert Member
Oct 7, 2016
460
610
Wadau, natamani sana kupata maarifa ya biashara ya butcher. Naombeni sana wenye maarifa na ujuzi nayo, kuanzia kwenye upatikanaji wa vibali na maarifa ya biashara kiujumla.

Je, ni mtaji wa kiasi gani mtu anaweza kuanza nao?
 
Back
Top Bottom