Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,693
- 160,446
Na hii si napokea mwenyewe eeh?Limeisha hilo mzee mwenzangu, taja mahari kabisa.
Na hii si napokea mwenyewe eeh?Limeisha hilo mzee mwenzangu, taja mahari kabisa.
Ehh... Ni zawadi toka kwangu, kuja kwako muolewaji.Na hii si napokea mwenyewe eeh?
Ooooh!! Sawa sawa. Sasa kama ni zawadi kwanini uniulize mimi nahitaji kiasi gani? Kwanini usipange wewe!!E
Ehh... Ni zawadi toka kwangu, kuja kwako muolewaji.
Hiyo mungu ndio kasema hivyo...Ooooh!! Sawa sawa. Sasa kama ni zawadi kwanini uniulize mimi nahitaji kiasi gani? Kwanini usipange wewe!!
Ooooh! Basi sawa🤣🤣Hiyo mungu ndio kasema hivyo...
Huku kibinadamu mara ngapi tunaulizana, nikuletee zawadi gani, unataja(kwwa kuangalia uwezo wa mwenzio), nami kwa mapenzi naluletea ulichoagiza, nabeba sato toka mwanza mpaka dar, wakati dar wapo(kuthaminiana)
Haina tofauti na mahari(zawadi ya mke mtarajiwa)
Ni sawa na kukubaliana tarehe 10 nakuoa, kisha siku ya harusi nikuulize nikuletee zawadi gani, kisha we utaje..
Hii zawadi ndio mahari sasa, ambayo imekuwa ni lazima(sheria)
Wewe tu.Ooooh! Basi sawa🤣🤣
Nafikiria cha kukubomu🤔🤔Wewe tu.
Ukikipata utanijuza..Nafikiria cha kukubomu🤔🤔
Sawa sawa😍Ukikipata utanijuza..
Kwenye hii avatar Yako dear mchumba wako ni nani??🤣🤣🤣🤣🤣
Wacha bwana!!
Niko single🤣🤣🤣Kwenye hii avatar Yako dear mchumba wako ni nani??
Sawa kobe wangu.Tulia wewe papasi🤣🤣🤣
We nimiss tu🤣🤣🤣Sawa kobe wangu.
Nimekumiss tayari...afu mtandao niliko ni hovyoo
Ungejiita dalailah ingependezaNiko single🤣🤣🤣
Hapana, hili ndilo zuri zaidi.Ungejiita dalailah ingependeza
Haya mwaya heri ya xmass bado mwaka mupyaHapana, hili ndilo zuri zaidi.
Sante dear, japo hata x-mass nayo badoHaya mwaya heri ya xmass bado mwaka mupya
Inategemea unataka kula nini na huyo umtakaye ataka kula nini toka kwako.Nani atanialika xmass ?? Glenn pulis naomba mchongo mzuri wa xmass ni kale wapi Kwa nani ambapo nitaenjoy sana tu