adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 10,951
- 23,094
Haya mambo hayana formula muhimu umakini na kutumia akili tuKama unajisikia kulia lia mpaka uchoke.
kama unajisikia kula yaani kula kila utakacho kitamani
lakini cha muhimu ushajifunza na hata ukiingia kwenye mahusiano mengine utajua nini cha kufanya ila kikubwa nachokushauri USIMWAMINI MWANAMKE HATA KWA 1%