Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
katika kuishi kwangu nimegundua vitu viwili vinavyoweza kumtoa mwanamke nje ni kutosuguliwa kisawasawa na matunzo(mahitaji), ukikosa kumpatia mwanamke hivyo vitu ujue lazma atagongwa na wajanja tu njeAisee tupeane busara,
Kipi waweza kufanya, au ulifanya Nini pale ulipojihakikishia mpenzi wako (sio mke) anatoka kimapenzi na mtu mwingine?.
Ni Hilo tu
katika kuishi kwangu nimegundua vitu viwili vinavyoweza kumtoa mwanamke nje ni kutosuguliwa kisawasawa na matunzo(mahitaji), ukikosa kumpatia mwanamke hivyo vitu ujue lazma atagongwa na wajanja tu nje
It is obvious..uko sahh mkuuunaweza mpa vyote hivyo na bado akakusaliti.
katika kuishi kwangu nimegundua vitu viwili vinavyoweza kumtoa mwanamke nje ni kutosuguliwa kisawasawa na matunzo(mahitaji), ukikosa kumpatia mwanamke hivyo vitu ujue lazma atagongwa na wajanja tu nje
Kama si mwanamke wa ndoa nitachukulia poa tu, muhimu na mm nitatafuta chimbo jingine.
Ila kama niwa ndoa,
Hakika mwanamke huyo nitampa taraka kwa kosa lakufanya ukahaba.
Alafu kushare mwanamke inadipend sometime.Kwaiyo asiye was ndoa utakubali uendelee kushare na wengine huku ukijua mkuu?
Inahitaji moyo
Huyo atakuwa ni malaya na tabia yake kaanza zamani kabla hamjakutanaunaweza mpa vyote hivyo na bado akakusaliti.
Acha kujidanganya...acha kabisa. Amka uache kuota hiyo ndoto..Kwaiyo asiye was ndoa utakubali uendelee kushare na wengine huku ukijua mkuu?
Inahitaji moyo
Yaani mie sijamuelewa anamaanisha nini...Nimesema nitatafuta chimbo jingine.
Alafu kushare mwanamke inadipend sometime.
We husikii watu wanakula wake za watu???
Natafuta mwingineAisee tupeane busara,
Kipi waweza kufanya, au ulifanya Nini pale ulipojihakikishia mpenzi wako (sio mke) anatoka kimapenzi na mtu mwingine?.
Ni Hilo tu
Najijua kabisa si mvumilivu kwa mtu msaliti wa mapenzi yangu.Aisee tupeane busara,
Kipi waweza kufanya, au ulifanya Nini pale ulipojihakikishia mpenzi wako (sio mke) anatoka kimapenzi na mtu mwingine?.
Ni Hilo tu