Tupe updates za athari za mvua hapo ulipo

Tupe updates za athari za mvua hapo ulipo

JipuKubwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2013
Posts
2,342
Reaction score
2,390
Kwenye hoja direct, mwana jamvi kutokana na mvua zinazoendelea hasa katika jiji la Dar es salaam huku Kimara hasa barabara ya Bonyokwa imeharibika sana.

Vipi wewe huko ulipo?

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Sisi huku tumejiandaa vya kutosha kukabiliana na el nino ila mpaka sasa hata mvua za kawaida bado hazijaanza ni kiangazi kikavu vumbi tupu
Mkuu,hivi humu kila huyo anajua ulipo?
Kama kila mmoja anajua ulipo,nijulishe basi hata mimi nijue ni wapi huko ulikojiandaa na El nino halafu hata mvua za kawaida hakuna.
 
Kwenye hoja direct, mwana jamvi kutokana na mvua zinazoendelea hasa katika jiji la Dar es salaam huku Kimara hasa barabara ya Bonyokwa imeharibika sana.

Vipi wewe huko ulipo?

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Poleni wakuu, yatapita tu.

Lkn sijui kwanini neno Bonyokwa huwa linanichekesha sana😂😂😂

Kelsea huko mvua vipi?
 
Mkuu,hivi humu kila huyo anajua ulipo?
Kama kila mmoja anajua ulipo,nijulishe basi hata mimi nijue ni wapi huko ulikojiandaa na El nino halafu hata mvua za kawaida hakuna.
ni humu humu Tanzania kuna maeneo mvua hata za vuli hazijaanza
 
FB_IMG_1699776442584.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom