Kuna approximately 2,271 spacecrafts(satellites) in orbit. Russia inamiliki karibu 1300 na USA 600+ huku zingine zikimilikiwa na nchi zingine. Zaidi ya nchi 40 zina spacecrafts in space currently. Lakini ni nchi 10 tu zenye uwezo fully wa kurusha na ku-operate satellites angani hivyo zingine hutumia msaada wao.
Satellite hukaa kwenye orbit umbali wa 20,000km to 36,000km juu ya uso wa dunia.
Sio satellites zote zinafanya Kazi kuna zingine zimeshakufa hivyo hazitumiki tena hizi huitwa space debris ukizingatia satellite ya kwanza ilirushwa na Russia mwaka 1957.
Wadau wengine wameeleza definitions na matumizi ya satellites. You're welcome