MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,727
- 37,031
Habari wana JF
Kwanza kabisa lazima tukiri kila nafsi itaionja mauti (hapa tuna uelewa wa pamoja). Pili, jambo la kufikirisha ni unakufaje, baada ya kufa utapata status gani? hayati au marehemu?
Kwa haraka haraka kuna wale ambao ni wazito kufikiri na wanaochukulia poa kila jambo lakini status baada ya kifo matters most. Wenzetu wanaita LEGACY, bahati mbaya kwa haraka haraka nimekosa kiswahili chake ila ni mazuri gani umeyaacha na je wewe ni mtu wa kutiliwa mfano?
Kuna tofauti yako wewe na Mwalimu nyerere, Kwame Nkuruma, Dr. Reginald Mengi n.k. Hawa watu kuna vitu wamefanya kwa jamii yao na hivyo baada ya kufa woa ni hayati na si marehemu.
Kwakua sisi wote ni marehemu watarajiwa, basi kuna kila sababu ya kufanya kazi kwa bidii na kubadili status baada ya vifo vyetu. Nawatakia maombolezo mema katika kipindi hiki kigumu tunachoomboleza kifo cha Hayati RAM
Kama unabisha andamama, kibali kimetoka.
Kwanza kabisa lazima tukiri kila nafsi itaionja mauti (hapa tuna uelewa wa pamoja). Pili, jambo la kufikirisha ni unakufaje, baada ya kufa utapata status gani? hayati au marehemu?
Kwa haraka haraka kuna wale ambao ni wazito kufikiri na wanaochukulia poa kila jambo lakini status baada ya kifo matters most. Wenzetu wanaita LEGACY, bahati mbaya kwa haraka haraka nimekosa kiswahili chake ila ni mazuri gani umeyaacha na je wewe ni mtu wa kutiliwa mfano?
Kuna tofauti yako wewe na Mwalimu nyerere, Kwame Nkuruma, Dr. Reginald Mengi n.k. Hawa watu kuna vitu wamefanya kwa jamii yao na hivyo baada ya kufa woa ni hayati na si marehemu.
Kwakua sisi wote ni marehemu watarajiwa, basi kuna kila sababu ya kufanya kazi kwa bidii na kubadili status baada ya vifo vyetu. Nawatakia maombolezo mema katika kipindi hiki kigumu tunachoomboleza kifo cha Hayati RAM
Kama unabisha andamama, kibali kimetoka.
