jamaani jamanii..
Binafsi nafagilia sana nyimbo zake ..
Natamani afufuke hata leo.lakinimwacheni apumzike jamani..
hii si mara ya kwanza kuona hapa jamvini mwaka jana 2011 si mlisema
amejificha sijui huko New Zealand.. Ni wengi tunampenda ila ni vema tumwache apumzike..R.I.P