Tuongee ukweli hapa ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Tuongee ukweli hapa ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

si nilkuja na kimbinyiko ukankataa kisa mlafi nkarud na super feo ๐Ÿ™„๐Ÿ™„
Leo uninasaidiaje sasa ๐Ÿฅบ๐Ÿฅบ๐Ÿฅบ๐Ÿฅบ๐Ÿฅบ๐Ÿฅบ๐Ÿฅบ๐Ÿฅบ๐Ÿฅบ๐Ÿฅบ๐Ÿฅบ
 
Kojoa ulale ๐Ÿ˜Œ๐Ÿ˜Œ
Mi sipendi dharau
manyanyaso masimango siwezi siwezi

Dharau manyanyaso dharau masimango siwezi siwezi
๐Ÿฅบ๐Ÿฅบ๐Ÿฅบ๐Ÿฅบ๐Ÿฅบ
 
Mi sipendi dharau
manyanyaso masimango siwezi siwezi

Dharau manyanyaso dharau masimango siwezi siwezi
๐Ÿฅบ๐Ÿฅบ๐Ÿฅบ๐Ÿฅบ๐Ÿฅบ
Kumbe ndoman unapenda mishangaz,,unadeka sana๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Kumbe ndoman unapenda mishangaz,,unadeka sana๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Unanisimanga na kuninyanyasa sasa mi siwezi masimango ๐Ÿฅบ๐Ÿฅบ๐Ÿฅบ๐Ÿฅบ
 
Kwahyo umekosa picha ya binti yake mama Kimbo?
 
bas kam hutaki kusimangwa futa nambangu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ
Mda mwingine nakaa chini nawaza...
Hivi kwanini ms R uliondoka......
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Mda mwingine nakaa chini nawaza...
Hivi kwanini ms R uliondoka......
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
ulinifukuza wew kisa mlafi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Mi nakereka na hiyo tabia ya urafi sasa akafu nilikua na wenzangu unazani wangekufukiliaje ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Yaani sitarud tena uko mm,, siwezi vumilia njaa mim
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Yaani sitarud tena uko mm,, siwezi vumilia njaa mim
Kwani umeambiwa hautikula...
Kula utakula ila sasa kuna vitabia lazima uvifiche nikiwa na wenzangu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Kwani umeambiwa hautikula...
Kula utakula ila sasa kuna vitabia lazima uvifiche nikiwa na wenzangu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
bas ungenunua chakula kibaya apo ningeweza kuvunga๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
bas ungenunua chakula kibaya apo ningeweza kuvunga๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Mi napenda vitamu sasa....
Kibaya kama kipi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Mi napenda vitamu sasa....
Kibaya kama kipi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
aseee ukitaka nisile niwekee dagaa ๐Ÿ™Œ๐Ÿพ๐Ÿ™Œ๐Ÿพ๐Ÿ™Œ๐Ÿพ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ntashiba miaka buku
 
aseee ukitaka nisile niwekee dagaa ๐Ÿ™Œ๐Ÿพ๐Ÿ™Œ๐Ÿพ๐Ÿ™Œ๐Ÿพ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ntashiba miaka buku
Yaaani dagaa upendi... Weee mdada wa ajabu sana aiseee
daah upo opposite na me sasa itakuaje ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Yaaani dagaa upendi... Weee mdada wa ajabu sana aiseee
daah upo opposite na me sasa itakuaje ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
tuachane kuanzia leo m nawew bas๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Back
Top Bottom