kali linux
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,301
- 6,119
hello bosses ka,a kichwa kinavyosema, Uzi huu nmeufungua ili tuongelee khs maendeleo ya mitandao yetu ya simu. Mimi naona mitandao yetu hii bado iko nyuma sana hada katika kumatch na speed ya technology ya dunia ya sasa.
Mfano kwenyr upande wa ussd codes mfano kwa voda *149*01# hii inakupa menu ya vifurushi na services mbalimbali za voda. Lkn tatizo ni lwamba mtandao huu hauruhusu shortcuts za moja kwa moja mfano kama nkisha bofya *149*01# inabidi tena nichague mfano namba 1 thn namba 2 thn namba 4 lkn kwa mitandao ya uganda mfano mtn hada ya India hio process yotenaweza kui dial moja kwa moja kwa kupiga *149*01*1*2*4#.
Yaan hapo nmeunganisha options zangu kwenye string moja baada ya *149*01
Kamakuna mtu ambae anajua jinsi ya kufanya hii shortcut naomba anielimishe lkn nmefanya sana utafiti mtandaoni ila sijafanikiwa.
Mtag telecommunication engineer yyt plz
Karibuni
Mfano kwenyr upande wa ussd codes mfano kwa voda *149*01# hii inakupa menu ya vifurushi na services mbalimbali za voda. Lkn tatizo ni lwamba mtandao huu hauruhusu shortcuts za moja kwa moja mfano kama nkisha bofya *149*01# inabidi tena nichague mfano namba 1 thn namba 2 thn namba 4 lkn kwa mitandao ya uganda mfano mtn hada ya India hio process yotenaweza kui dial moja kwa moja kwa kupiga *149*01*1*2*4#.
Yaan hapo nmeunganisha options zangu kwenye string moja baada ya *149*01
Kamakuna mtu ambae anajua jinsi ya kufanya hii shortcut naomba anielimishe lkn nmefanya sana utafiti mtandaoni ila sijafanikiwa.
Mtag telecommunication engineer yyt plz
Karibuni