Tunza vizuri sehemu za mwili wako zilizoota nywele

Tlaatlaah

JF-Expert Member
May 18, 2023
8,153
11,558
Ni vizuri kupatunza vema mahali panapoota nywele katika sehemu mbalimbali za miili yetu.

Ni muhimu kupapenda na kupajali kwa kupafanyia usafi mara kwa mara kwa kunyoa lakini sio kila siku, ili pawe nadhifu katika uasili wake.

Na ni vizuri zaidi kutumia vifaa vipya vya kunyolea kama vile nyembe ambazo ni bora, kutumia vifaa butu na kuyakwangua kila siku kama vocha ni kuyakomaza sana maeneo hayo na kuyafanya yawe meusi mno, yenye sugu na kwa baadhi yanatisha kwasabb hayatunzwi vema.

Ni muhimu kuzingatia hilo.
 
IMG-20240327-WA0497.jpg
 
ni vizuri kupatunza vema mahali panapoota nywele katika sehemu mbalimbali za miili yetu.

ni muhimu kupapenda na kupajali kwa kupafanyia usafi mara kwa mara kwa kunyoa lakini sio kila siku, ili pawe nadhifu katika uasili wake.

na ni vizuri zaidi kutumia vifaa vipya vya kunyolea kama vile nyembe ambazo ni bora.
kutumia vifaa butu na kuyakwangua kila siku kama vocha ni kuyakomaza sana maeneo hayo na kuyafanya yawe meusi mno, yenye sugu na kwa baadhi yanatisha kwasabb hayatunzwi vema.

ni muhimu kuzingatia hilo
Kwan kuna madhara nisipofanya ivo?,, nauliza tu sihusiki kwa lolote
 
Kwan kuna madhara nisipofanya ivo?,, nauliza tu sihusiki kwa lolote
hakuna madhara yoyote kwako binafsi, kwakua zimewekwa huko ziliko kwa kazi maalumu kadiri ya muumbaji,
ila inaweza kua kero, kitisho au usumbufu kwa wengine wanaohusika au kuruhusiwa kuyazuru..
 
hakuna madhara yoyote kwako binafsi, kwakua zimewekwa huko ziliko kwa kazi maalumu kadiri ya muumbaji,
ila inaweza kua kero, kitisho au usumbufu kwa wengine wanaohusika au kuruhusiwa kuyazuru..
Anhaa kumbe ni ivo nikajua ni shida kiafya sababu afya ndio mtaji tofauti na apo wacha ziendelee kumea
 
Back
Top Bottom