snipa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 4,523
- 2,162
Wakuu.suala ni kwamba fursa ikiyopo itumike bila ya kufumbuliwa haraka..nimeleta uzi nadhani unajieleza tu vizur..sijatoa ni bas gan na mbinu gan wadau washa overlook..na kishtum..mimi.nimetoa kijiprice changu ya 6000 tu kwa mwez..suala ni kupitia ukasoma ukiona kinakufaa una ni PM mzigo unasukumiwa.kma unayo unauchuna... .sa sion haja ya kurushiana lawama
Hoja sio kutupiana lawama ! Nikuliweka wazi hili tatizo la watu kujiona kama wao wanauchungu sana !
Na nyie members wapya ! Kuwaona kama ni a point of last toe ! Na kama ulivyoambiwa hapo juu kwamba unachokifanya ni upuuzi mtupu !
Unaambiwa wewe hivyo akati both of them ni full of shit copy and paste ! And looks real pathetic ! To a someone with clear mind !
We kula tu pesa yako kama kuna wenye uhitaji huo wataku PM ! Japokuwa wapo na wanafiki pia ! Watakaokufuata !