nziriye
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 1,050
- 361
Watanzania jamani kuna tungo nyingine ambazo zina mana zaidi ya moja ,kwa hyo mtu anaweza akaitamka kukawa na mana zaidi ya moja kwa mtamkaji na anayesikiliza au mpokeaji,hebu kutana na tungo tata hz halafu ujionee mwenyewe:-
-amelalia maji
-amenunua kanga.
-mama amekuja na mbuzi
-khe!!kumbe paa
-tumpe pole.,amekalia kaa
-amelala tanga
vp waungwana mmepata maana ngapi ktk tungo hzo au una nyingine ,ziweke hapo .
-amelalia maji
-amenunua kanga.
-mama amekuja na mbuzi
-khe!!kumbe paa
-tumpe pole.,amekalia kaa
-amelala tanga
vp waungwana mmepata maana ngapi ktk tungo hzo au una nyingine ,ziweke hapo .