Tunga sentensi 5 kuhusu Polepole

Tunga sentensi 5 kuhusu Polepole

Cosovo

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2018
Posts
667
Reaction score
1,820
Hapa Polepole alikuwa anawaza........ .
FB_IMG_1639417338930.jpg
 
Kwaheri Vieite,karibu ukirobotoni.
Huyo Polepole ni mnafiki kupindukia, kiroboto wahed. Awamu ya tano alikua msema hovyo na kukandia Awamu ya nne, huyu ni kiroboto mhuni.
Polepole ana shangaa nini kumsema Nape alichukia Awamu ya tano kwani Polepole ndani ya nafsi yake anaipenda Awamu ya mama Samia?
Nasema ningemkuta peke yake ninge mkata vibao vya kutosha.
 
Huyo Polepole ni mnafiki kupindukia, kiroboto wahed. Awamu ya tano alikua msema hovyo na kukandia Awamu ya nne, huyu ni kiroboto mhuni.
Polepole ana shangaa nini kumsema Nape alichukia Awamu ya tano kwani Polepole ndani ya nafsi yake anaipenda Awamu ya mama Samia?
Nasema ningemkuta peke yake ninge mkata vibao vya kutosha.
Mimi ntakupa KY umpake kabisa mkuu.
 
Lemutuz kamvalia njuga swala la KY na toilet paper balaa. Sasa sijui jamaa huwa anabandua au anabanduliwaa.
 
Huyo Polepole ni mnafiki kupindukia, kiroboto wahed. Awamu ya tano alikua msema hovyo na kukandia Awamu ya nne, huyu ni kiroboto mhuni.
Polepole ana shangaa nini kumsema Nape alichukia Awamu ya tano kwani Polepole ndani ya nafsi yake anaipenda Awamu ya mama Samia?
Nasema ningemkuta peke yake ninge mkata vibao vya kutosha.
Unahisi na yeye ni zoba kiasi kwamba unaweza kumpiga vibao na yeye akabaki anakuangalia tu???.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom