PreGE2025 Tunduru: Wanachama 44 wa CUF na CCM wajiunga ACT

PreGE2025 Tunduru: Wanachama 44 wa CUF na CCM wajiunga ACT

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,573
Reaction score
2,496
Wanachama 44 wa CCM na CUF katika Kijiji cha Namiungo Wilayani Tunduru mkoani Ruvuma wamejiunga na Chama cha ACT Wazalendo mbele ya Katibu Mkuu wa chama hicho Ado Shaibu jana tarehe 1 Mei 2025.

Wakizungumza baada ya kujiunga na chama hicho wamesema kuwa wamevutiwa na uzalendo wa Ado Shaibu katika kuitetea Tunduru bila hofu.
 
Back
Top Bottom