Nakonde (Zambia) and (Tunduma) Tanzania boader post temporarily closed due to protesting youths. Risasi zinafyatuliwa kama Syria vile.
Wazambia wanailalamika Tanzania. Wanasema Tunduma hadi hapo ilivyo ni sababu ya wafanyabiashara wa Zambia
"Tanzanians must learn to co-exist at the Tunduma Nakonde boarder. One thing they don't realise is that, the confusion they have caused has affected their businesses a great deal. They forget that Tunduma is what it is today because of the Zambians and the trade they have with Zambians". Kalalamika Mzambia mmoja.
Shughuli zote mpakani zimesimama.
View attachment 1052880
=====
Geti kuu la forodha ya Tunduma na Nakonde limefungwa kwa muda baada ya raia wa Zambia kuzua vurugu mpakani wakishinikiza kuachiliwa huru kwa raia wenzao wa Zambia wanaoshikiliwa na polisi upande wa Tanzania waliokamatwa kwa tuhuma za uhalifu wa mpakani kufuatia operesheni ya Usalama inayoendelea.