Rugaiyulula
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,525
- 1,704
Nieleze kuna siasa gani chafu kuonyesha watu ambao siyo madiwani tena, lakini wanahudhuria vikao vya madiwani vya kibajeti. Elimu ni ufunguo wa maisha ebu nipe shule kidogo kwenye hilo.Kawapiga picha madiwani waliojiunga na CCM kisha kusambaza kwenye mitandao na kuhamasisha siasa chafu