Menyainganyi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2013
- 1,170
- 1,101
Nina shaka sana na asili ya uraia wa mfalme wetu . . , ni rahisi sana kwa watanzania kutawaliwa na wageni...!Wananchi watakapochoshwa na uonevu huu unaoendelea, kuna uwezekano wa kutokea machafuko makubwa zaidi ya yale mauaji ya kimbari yaliyotokea kule Rwanda mwaka 1994 (Mwenyezi Mungu aepushie mbali)