BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,009
Niacheni niinyooshe nchi mie!!! Tangu lini mtu sliyeshindwa kuinyoosha familia yake akaweza kuinyoosha nchi!? Wangemsikiliza yule Mama hili janga kubwa na jinamizi nchini tungeweza kabisa kuliepuka.
Huu ndiyo utawala unaotaka kujenga viwanda