Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,121
- 165,984
TUNDU LISU na MANDELA
1. Wanaomfananisha Tundu Lisu na Nelson Mandela, kimantiki inabidi waifananishe serikali yetu pendwa na ya makaburu. Je, Tutaelewana kweli? TURUDI MEZANI BILA HILA. Tunawatesa Mahakimu, Majaji na Mahakama zetu.
2. Kuna siku Jaji atapitiwa aseme PEOPLES! Na mwingine aseme HAPO VIPI?
3. Ushindi kisheria haujawahi kutatua migogoro ya kisiasa, kidini, mirathi na ardhi. Haki mahakamani si lazima iwe ndiyo KWELI.
4. Tukitatua changamoto za kisiasa kwa sheria; ipo siku tutatatua changamoto za kisheria kwa siasa.
Ukimwona Mjaluo kavaa kandambili hazifanani rangi; ya kulia kaivaa kushoto na ya kushoto kaivaa kulia, ujue kuna mawili:
Kuna watu walikuwa wanaheshimiwa sana, sasa wanachukiwa. Na kuna watu walikuwa wanachukiwa sana, sasa wanasikilizwa na kuheshimiwa. Kila kukicha, jana ilikuwa nafuu kuliko leo.
Bora kupoteza mali kuliko fursa.
1. Wanaomfananisha Tundu Lisu na Nelson Mandela, kimantiki inabidi waifananishe serikali yetu pendwa na ya makaburu. Je, Tutaelewana kweli? TURUDI MEZANI BILA HILA. Tunawatesa Mahakimu, Majaji na Mahakama zetu.
2. Kuna siku Jaji atapitiwa aseme PEOPLES! Na mwingine aseme HAPO VIPI?
3. Ushindi kisheria haujawahi kutatua migogoro ya kisiasa, kidini, mirathi na ardhi. Haki mahakamani si lazima iwe ndiyo KWELI.
4. Tukitatua changamoto za kisiasa kwa sheria; ipo siku tutatatua changamoto za kisheria kwa siasa.
Ukimwona Mjaluo kavaa kandambili hazifanani rangi; ya kulia kaivaa kushoto na ya kushoto kaivaa kulia, ujue kuna mawili:
- Ni mla madeni sugu mpaka misibani
- Kapitia kandambili za wanaoswali
Kuna watu walikuwa wanaheshimiwa sana, sasa wanachukiwa. Na kuna watu walikuwa wanachukiwa sana, sasa wanasikilizwa na kuheshimiwa. Kila kukicha, jana ilikuwa nafuu kuliko leo.
Bora kupoteza mali kuliko fursa.
