Tundu Lissu: Tumeuzwa na Rais Samia. Mkataba wa DP WORLD na Serikali ni Mkataba wa ovyo

Wabunge wetu hawa hawa. ndo wawe na weledi wa kusoma na kuichambua mikataba? Musiwaonee jamani wapo pale kwaajili ya kusema ndioooo . Wanailinda serikali yao. Kikubwa posho zao na maslahi yea yapo.
Mkuu acha kuwashushia heshma waheshimiwa wetu. Hakuna bunge lenye wabunge wazalendo kama lakwetu. Si umeona namna mhe. Mdee alivyopambana kwa hoja za kisheria na spika Tulia Ackson Mwansasu? Bunge liko vizuri ndo maana limeridhia kitu chenye maslahi na taifa mkuu.
 
Amedai kwamba kwa uzoefu wake wa mambo ya Sheria na Mikataba ya Nchi na Nchi hajawahi kuona mkataba wa ovyo na usiofaa kwa lolote kama huu uliopitishwa bungeni kwa kishindo.

View attachment 2653077

Hata hivyo amesema bado ni mapema kujua hatua za kuchukua ili kulishughulikia jambo hilo lenye makandokando mengi.

Toa maoni yako.

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Bunge limemaliza kila kitu haya mengine ni maongezi ya kwenye kanga. Hayana tena mantiki.
 
Wewe ebu jiambie mwenyewe, "mimi ni kichaa mwehu kwa sababu sina akili na wala sijitambui. Namwona Musukuma aliyeongoza jopo la kusaliti nchi, ni kati ya wasomi wakubwa wa nchi hii".

Sema, "nimelaaniwa mimi kwa unafiki wangu na uzao wangu mpaka kizazi cha nne".
Hahahaha. Kweli umenena yakufaayo kuitwa mkuu. Hayo yooote yanakufaa sana. Lkn bunge limefanya jambo saaafi kabisa tusubiri maendeleo ya chap chap.
Labda una ndugu yako alikuwa akikwapua mapesa Bandarini na akikugawia ndo maana una wasiwasi kuwa akiingia mwekezaji room ya rushwa itapungua kwa kuwa atakuwa makini ili mtaji wake usipitee. Bunge hoyeeeeee! Musukama na wenzake hoyeeeeee!. Dkt Tulia Safiiiiiiii.
Inabidi sasa Jimbo la Mbeya mwaka 2025 apewe Tulia iwe isiwe. Maana anaendesha bunge vyema na kwa maslahi ya taifa kabisa.
 
Amedai kwamba kwa uzoefu wake wa mambo ya Sheria na Mikataba ya Nchi na Nchi hajawahi kuona mkataba wa ovyo na usiofaa kwa lolote kama huu uliopitishwa bungeni kwa kishindo.

View attachment 2653077

Hata hivyo amesema bado ni mapema kujua hatua za kuchukua ili kulishughulikia jambo hilo lenye makandokando mengi.

Toa maoni yako.

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Hana lolote huyo. Mlopokaji tu.
 
Amedai kwamba kwa uzoefu wake wa mambo ya Sheria na Mikataba ya Nchi na Nchi hajawahi kuona mkataba wa ovyo na usiofaa kwa lolote kama huu uliopitishwa bungeni kwa kishindo.

View attachment 2653077

Hata hivyo amesema bado ni mapema kujua hatua za kuchukua ili kulishughulikia jambo hilo lenye makandokando mengi.

Toa maoni yako.

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Subiri watetezi wa serikali uchwara waje kumsuta
 
Oky muda wa mkataba ni Miaka mingapi au miezi mingapi ?
Screenshot_20230612_143203_WhatsApp.jpg
 
Learned brother Lissu ana msimamo gani jinsi Bandari yetu ilivyouzwa kwa Waarabu? Lissu amekuwa mpole sana sio kawaida yake.

_114822840_gettyimages-1227918880.jpg

Ukosoaji wa Lissu umebase kwenye lugha kali ili kufukisha ujumbe in a hard way. This time Lissu amepewa nini na mamlaka? Yupo kama hayupo, anakosoa kwa kusita sita.

Ikumbukwe inshu ndogo tu katika uongozi wa Magufuli, Lissu alikuwa anaitisha press kila siku na kutumia lugha ngumu. Ila awamu hii amekuwa mpole sana kwa utawala uliopo.

Lissu tunakutegemea brother, kuuzwa bandari ni aibu ya karne ambayo haijawahi kutokea duniani.

Umepatwa na nini Lissu?
 
Back
Top Bottom