Tundu Lissu please, acha kumuibia Lowassa!

Tundu Lissu please, acha kumuibia Lowassa!

Unaongea sana! Nenda kwa shigogo akupe training vizuri au uwende kaore ukajiongeze kidogo maana umeji lesi
 
Sijakuelewa mkuu unajikanyaaaanga unaji tekenyaaaa then unacheka jiamini basi na huyo nyambo wako.
 
Uko Deep sana Mkuu me NimeKuElewa na Hasa Sanaa yako uliyo Tumia kiUwasilishaji
 
Wewe mleta hii thread ni MNAFIKI tu. Wewe ni CCM ila umejifanya kubalance katikati.

Humpendi Lowassa ila umejifanya kujificha kwenye fasihi. Mungu bariki nimeisoma yote na kuielewa.

Upande wa Zanzibar umemalizia vizuri sana kuwa kama serikali na ZEC ni ya CCM na wameibiwa kura basi hawafai kuongoza nchi na hili nakubakiana na wewe. CCM wameonyesha udhaifu.

Inapokuja kwa NEC, hukusema lolote kuwa NEC yote wamechaguliwa na CCM. Umewashambulia Tundu Lissu, Mbowe n Lowassa kama walafi wa madaraka na kwa CCM umemtaja Nape pekee na goli la Mkono.

Umeshindwa kabisa kuweka nendo linaloliliwa na wengi kuwa iwepo NEC huru ambayo haijawekwa na Mwenyekiti au Mwanachama wa CCM au Serikali. Na hili lingelikuwa ranisi kama NEC wangelichaguliwa na Majaji na kutangazwa na Jaji Mkuu. Majaji hawa hata vyama wanatakiwa wasiwe navyo.

Hii kufanya uchaguzi chini ha NEC iliyochaguliwa na Mwenyekiti wa CCM na huku Mwenyekiti huyohuyo yaani Kikwete ni mgombea wa Urais, inakuwa ni kichekesho.

Labda msamiati NEC Huru mwanao bado mdogo sana kuufahamu. Au akisikia NEC anafikiri ni ile ya CCM.

Hilo toto litakuwa JINGA sana kuwajua akina Garincha na Machinga Eusebio et el ila haifahamu NEC ya Kikwete.
 
Bahati mbaya wengi hawajamuelewa huyu msanii

Wale waliozoea kusoma magazeti ya uhuru mzalendo na ya kubenea hawata muelewa na ndiyo maana wanatoa kashfa wakati hawajaisoma yote. Tanzania ina nyumbu wengi sana.
 
Wewe mleta hii thread ni MNAFIKI tu. Wewe ni CCM ila umejifanya kubalance katikati.

Humpendi Lowassa ila umejifanya kujificha kwenye fasihi. Mungu bariki nimeisoma yote na kuielewa.

Upande wa Zanzibar umemalizia vizuri sana kuwa kama serikali na ZEC ni ya CCM na wameibiwa kura basi hawafai kuongoza nchi na hili nakubakiana na wewe. CCM wameonyesha udhaifu.

Inapokuja kwa NEC, hukusema lolote kuwa NEC yote wamechaguliwa na CCM. Umewashambulia Tundu Lissu, Mbowe n Lowassa kama walafi wa madaraka na kwa CCM umemtaja Nape pekee na goli la Mkono.

Umeshindwa kabisa kuweka nendo linaloliliwa na wengi kuwa iwepo NEC huru ambayo haijawekwa na Mwenyekiti au Mwanachama wa CCM au Serikali. Na hili lingelikuwa ranisi kama NEC wangelichaguliwa na Majaji na kutangazwa na Jaji Mkuu. Majaji hawa hata vyama wanatakiwa wasiwe navyo.

Hii kufanya uchaguzi chini ha NEC iliyochaguliwa na Mwenyekiti wa CCM na huku Mwenyekiti huyohuyo yaani Kikwete ni mgombea wa Urais, inakuwa ni kichekesho.

Labda msamiati NEC Huru mwanao bado mdogo sana kuufahamu. Au akisikia NEC anafikiri ni ile ya CCM.

Hilo toto litakuwa JINGA sana kuwajua akina Garincha na Machinga Eusebio et el ila haifahamu NEC ya Kikwete.

Hata wewe una kasoro pia kwa jinsi nionavyo mimi huna haja ya kuwatetea kina UKAWA na wewe unalijua hili unasema mwenyekiti wa nec achagyliwe na judge tunaomba utuambie judge anachaguliwa na nani na kama kweli una imani UKAWA wangemwamini. Na una uhakika gani kama ma judge wetu hawana vyama? Augustino Ramadhani ni mfano. Niliposema uwalaum UKAWA nilikua na maana waliingiaje ktk uchaguzi huku wakijua NEC ni ya ccm? Na hapo ndipo muandishi alipotaka kukufafanulia lakini kama kawaisa tunavutwa mno na hisia za kiitikadi na tunaunga mkono pale mwandishi yupo upande wetu. Msime vizuri kama wewe ni neutral utamuelwqa vizuri na hilo liwe fundisho kwa UKAWA waelewe hawaibiwa ndiyo katiba i?awaibia ambayo walishindwa kuiomba wakati wa Mwinyi pale walipo unda NCCR kama chombo cha kudai katiba mpya. Sasa wote ni wapiga deal kama ccm.
 
Una kiherehere wewe utadhani kuku anataka kutagaa. Wewe ndiyo mleta Sredi hii?

Soma uelewe nimeandika nini na ukigundua uvunguni mwa moyo wako ni GT basi rudia kusoma ujumbe wangu na ujibu.

Hata wewe una kasoro pia kwa jinsi nionavyo mimi huna haja ya kuwatetea kina UKAWA na wewe unalijua hili unasema mwenyekiti wa nec achagyliwe na judge tunaomba utuambie judge anachaguliwa na nani na kama kweli una imani UKAWA wangemwamini. Na una uhakika gani kama ma judge wetu hawana vyama? Augustino Ramadhani ni mfano. Niliposema uwalaum UKAWA nilikua na maana waliingiaje ktk uchaguzi huku wakijua NEC ni ya ccm? Na hapo ndipo muandishi alipotaka kukufafanulia lakini kama kawaisa tunavutwa mno na hisia za kiitikadi na tunaunga mkono pale mwandishi yupo upande wetu. Msime vizuri kama wewe ni neutral utamuelwqa vizuri na hilo liwe fundisho kwa UKAWA waelewe hawaibiwa ndiyo katiba i?awaibia ambayo walishindwa kuiomba wakati wa Mwinyi pale walipo unda NCCR kama chombo cha kudai katiba mpya. Sasa wote ni wapiga deal kama ccm.
 
Umejitahidi kwa kujifanya huna upande ila ukajikuta bila kulazimishwa na mtu unatuonyesha nini lengo la gazeti lako na wewe ni wa upande gani.
 
THEMES nyingi zimeihusu CCM, ZEC Lakini kichwa cha Habari kinamhusu Lissu, Kwanini Lissu? Unasema Lissu anamuibia Lowasa wakati unajua fika kwenye timu ya Uangalizi wa KURA, kampeni na kuhesabu KURA Lowasa aliweka watu wake alitoka nao CCM mfano Chiizi (Alikuwa mfuatiliaji wa matokeo na muwakilishi pale NEC). Matokeo yaliyolalamikiwa ni ya URAIS ambayo Kikatiba huwezi kuyapinga Mahakamani wakati ya UBUNGE na UDIWANI utayapinga mahakamani.

UKAWA hawaitambui serikali upande wa URAIS kikatiba ndio imeshawekwa hakuna namna solution ni kutafuta namna nyingine ya kuonyesha jinsi gani hauitambui.
LISSU anaiwakilisha UKAWA kama mmojawapo wa wanasheria wakuu. Msimamo, maelezo anayoyatoa ni maamuzi ya UKAWA na sio binasi Inatakiwa uelewe.
Muandishi uko BIAS sana japokuwa umejificha kwenye kichaka cha uchambuzi.
 
Uko vzr sana, ili umwelewe ni vema kujaribu kuweka hisia zetu za vyama pembeni na kujaribu kuvaa uhusika kwa kila upande ndio utapata nn alichokusudia
 
Hii inadhihilisha kuwa watanzania wengi hawana kazi za kufanya.

Kama una kazi usingepoteza muda kwa kuandika utumbo mrefu kiasi hicho

Kweli kabisa mkuu.

Utashangaa na mwingine anausoma wote huu na kuamua ku comment kabisa, sijui lini tutabadilika waTanzania.
Bora sisi wenye kazi tunaandika utumbo mfupi.
 
Ndiyo maana nchi haiendelei.watu wanakaa kuandika vitu virefu badala ya kufanya kazi! Sijamaliza bhana nitaendelea kesho.
 
Hili andiko linamfaa sana mpiga kura wa kawaida, ila ukiwa mwanasiasa hutakaa ukubaliane na mwandishi hata siku moja.
 
Back
Top Bottom